Surah Ghafir aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ghafir aya 5 in arabic text(The Forgiver (God)).
  
   

﴿كَذَّبَتْ قَبْلَهُمْ قَوْمُ نُوحٍ وَالْأَحْزَابُ مِن بَعْدِهِمْ ۖ وَهَمَّتْ كُلُّ أُمَّةٍ بِرَسُولِهِمْ لِيَأْخُذُوهُ ۖ وَجَادَلُوا بِالْبَاطِلِ لِيُدْحِضُوا بِهِ الْحَقَّ فَأَخَذْتُهُمْ ۖ فَكَيْفَ كَانَ عِقَابِ
[ غافر: 5]

Kabla yao walikadhibisha kaumu ya Nuhu na makundi mengine baada yao. Na kila taifa lilikuwa na hamu juu ya Mtume wao wamkamate. Na walibishana kwa upotovu ili kuipindua haki. Kwa hivyo niliwakamata. Basi ilikuwaje adhabu yangu!

Surah Ghafir in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The people of Noah denied before them and the [disbelieving] factions after them, and every nation intended [a plot] for their messenger to seize him, and they disputed by [using] falsehood to [attempt to] invalidate thereby the truth. So I seized them, and how [terrible] was My penalty.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kabla yao walikadhibisha kaumu ya Nuhu na makundi mengine baada yao. Na kila taifa lilikuwa na hamu juu ya Mtume wao wamkamate. Na walibishana kwa upotovu ili kuipindua haki. Kwa hivyo niliwakamata. Basi ilikuwaje adhabu yangu!


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 5 from Ghafir


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi wakazozana kwa shauri yao wenyewe kwa wenyewe, na wakanong'ona kwa siri.
  2. Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au
  3. Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari kwa fimbo yako. Basi ikatengana, na kila sehemu ikawa
  4. Tazama vipi wanavyo mzulia uwongo Mwenyezi Mungu, na haya yatosha kuwa dhambi iliyo dhaahiri.
  5. Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
  6. Na Siku litapo pulizwa baragumu, watahangaika waliomo mbinguni na katika ardhi, ila amtakaye Mwenyezi Mungu.
  7. Kwa hivyo tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika marikebu iliyo sheheni.
  8. Nao wanatuudhi.
  9. Na ikiwa mmoja wapo katika washirikina akikuomba ulinzi, basi mpe ulinzi apate kusikia maneno ya
  10. Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa yakini mtafuatwa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ghafir with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ghafir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghafir Complete with high quality
Surah Ghafir Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ghafir Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ghafir Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ghafir Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ghafir Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ghafir Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ghafir Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ghafir Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ghafir Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ghafir Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ghafir Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ghafir Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ghafir Al Hosary
Al Hosary
Surah Ghafir Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ghafir Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, March 31, 2025

Please remember us in your sincere prayers