Surah Fussilat aya 52 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fussilat aya 52 in arabic text(Expounded).
  
   

﴿قُلْ أَرَأَيْتُمْ إِن كَانَ مِنْ عِندِ اللَّهِ ثُمَّ كَفَرْتُم بِهِ مَنْ أَضَلُّ مِمَّنْ هُوَ فِي شِقَاقٍ بَعِيدٍ﴾
[ فصلت: 52]

Sema: Mnaonaje! Ikiwa haya yanatoka kwa Mwenyezi Mungu, nanyi ikawa ndio mmeyakataa, ni nani aliye potea zaidi kuliko aliye katika upinzani wa mbali?

Surah Fussilat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "Have you considered: if the Qur'an is from Allah and you disbelieved in it, who would be more astray than one who is in extreme dissension?"


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Mnaonaje! Ikiwa haya yanatoka kwa Mwenyezi Mungu, nanyi ikawa ndio mmeyakataa, ni nani aliye potea zaidi kuliko aliye katika upinzani wa mbali?


Ewe Muhammad! Waambie: Hebu nambieni; ikiwa hii Qurani imetoka kwa Mwenyezi Mungu nanyi mkawa mnaikataa, basi nani aliye kuwa mbali mno na Ukweli kuliko huyo aliye kinyume na Haki?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 52 from Fussilat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na nyama hoa amekuumbieni. Katika hao mna vifaa vya kutia joto, na manufaa mengineyo, na
  2. Na pindi tukitaka kuuteketeza mji huwaamrisha wale wenye starehe na taanusi, lakini wao huendelea kutenda
  3. Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
  4. Na Jahannamu itadhihirishwa kwa mwenye kuona,
  5. Hakika wasio ziamini Ishara za Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu hawaongoi, nao watapata adhabu chungu.
  6. Sema: Mola Mlezi wangu ameamrisha uadilifu, na mumuelekeze nyuso zenu kila mnapo sujudu, na muombeni
  7. Basi kwa haya waite! Nawe simama sawa sawa kama ulivyo amrishwa, wala usiyafuate matamanio yao.
  8. Hivyo basi nyinyi ndio mnawapenda watu hao, wala wao hawakupendeni. Nanyi mnaviamini Vitabu vyote. Na
  9. Na usemi wake (Mtume) ni: Ewe Mola wangu Mlezi! Hakika hawa ni watu wasio amini.
  10. Wale walio kufuru na kuzuilia Njia ya Mwenyezi Mungu tutawazidishia adhabu juu ya adhabu, kwa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fussilat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fussilat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fussilat Complete with high quality
Surah Fussilat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fussilat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fussilat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fussilat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fussilat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fussilat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fussilat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Fussilat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fussilat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fussilat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fussilat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fussilat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fussilat Al Hosary
Al Hosary
Surah Fussilat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fussilat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, May 15, 2025

Please remember us in your sincere prayers