Surah Anam aya 55 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَكَذَٰلِكَ نُفَصِّلُ الْآيَاتِ وَلِتَسْتَبِينَ سَبِيلُ الْمُجْرِمِينَ﴾
[ الأنعام: 55]
Na ndio hivi tunavyo zieleza Ishara ili ibainike njia ya wakosefu.
Surah Al-Anam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And thus do We detail the verses, and [thus] the way of the criminals will become evident.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ndio hivi tunavyo zieleza Ishara ili ibainike njia ya wakosefu.
Na kwa mfano wa bayana hiyo iliyo wazi, tunaweka wazi dalili mbali mbali, ipate kudhihiri njia ya Haki wanayo ipitia Waumini, na ibainishe njia ya upotovu wanayo ipitia makafiri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya haki ili ipate kuzishinda
- Isipo kuwa iwe rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika fadhila yake kwako ni kubwa.
- Sivyo hivyo! Bali nyinyi mnaikanusha Siku ya Malipo.
- Na siku atakapo wakusanya wao na hao wanao waabudu, na akasema: Je! Ni nyinyi mlio
- Wakasema: Tumemuamini Mola Mlezi wa viumbe vyote,
- Sema: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu saba na Mola Mlezi wa A'rshi Kuu?
- Mwenye wasaa atoe kadiri ya wasaa wake, na mwenye dhiki atoe katika alicho mpa Mwenyezi
- Na wanasema: Arrahman, Mwingi wa Rehema, ana mwana! Subhanahu, Ametakasika na hayo! Bali hao (wanao
- Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu.
- Yawe haya ni kifumbua macho na ukumbusho kwa kila mja mwenye kuelekea.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers