Surah Anfal aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاتَّقُوا فِتْنَةً لَّا تُصِيبَنَّ الَّذِينَ ظَلَمُوا مِنكُمْ خَاصَّةً ۖ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ شَدِيدُ الْعِقَابِ﴾
[ الأنفال: 25]
Na jikingeni na Fitna ambayo haitowasibu walio dhulumu peke yao kati yenu. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu.
Surah Al-Anfal in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And fear a trial which will not strike those who have wronged among you exclusively, and know that Allah is severe in penalty.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na jikingeni na Fitna ambayo haitowasibu walio dhulumu peke yao kati yenu. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu.
Na jikingeni na Dhambi kubwa ya kufisidi jamii yenu, kama vile kuacha kwenda kwenye Jihadi, na kufarikiana mkagawana mapande mapande, na kama kuacha kuamrisha mema na kukataza maovu. Kwani Fitna hiyo, Dhambi hiyo, haiwapati wale walio dhulumu peke yao, bali inawapata wote. Na mjue kuwa bila ya shaka kuwa adhabu ya Mwenyezi Mungu ni kali hapa duniani na Akhera pia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi alipo wafikia Musa na Ishara zetu, walisema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio
- Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!
- Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.
- Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
- Basi, ole wao wanao sali,
- Lakini walimkanusha basi ukawatwaa mtikiso wa ardhi, wakapambazukiwa ndani ya nyumba zao nao wamefudikia.
- Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
- Wanangojea jengine hawa ila Malaika wawafikie, au iwafikie amri ya Mola wako Mlezi? Kama hivyo
- Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.
- Na hilo kwa Mwenyezi Mungu si jambo gumu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers