Surah Zumar aya 55 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاتَّبِعُوا أَحْسَنَ مَا أُنزِلَ إِلَيْكُم مِّن رَّبِّكُم مِّن قَبْلِ أَن يَأْتِيَكُمُ الْعَذَابُ بَغْتَةً وَأَنتُمْ لَا تَشْعُرُونَ﴾
[ الزمر: 55]
Na fuateni yaliyo bora kabisa katika yale yaliyo teremshwa kwenu kutoka kwa Mola wenu Mlezi, kabla haijakujieni adhabu kwa ghafla, na hali hamtambui.
Surah Az-Zumar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And follow the best of what was revealed to you from your Lord before the punishment comes upon you suddenly while you do not perceive,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na fuateni yaliyo bora kabisa katika yale yaliyo teremshwa kwenu kutoka kwa Mola wenu Mlezi, kabla haijakujieni adhabu kwa ghafla, na hali hamtambui.
Na fuateni yaliyo bora kabisa katika mliyo teremshiwa kutokana na Mola wenu Mlezi, nayo ni Qurani Tukufu, kabla ya kukujieni adhabu kwa ghafla, na bila ya kujitayarisha, na hali nyinyi hamjui kuja kwake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka
- Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukafuatisha baada yake Mitume wengine. Na tukampa Isa, mwana
- Humo hawatasikia porojo wala maneno ya dhambi,
- Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.
- Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
- Hatukuviumba hivyo ila kwa Haki, lakini wengi wao hawajui.
- Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
- Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.
- (Firauni) akasema: Basi Mola wenu Mlezi ni nani, ewe Musa?
- Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers