Surah Nuh aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا﴾
[ نوح: 14]
Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?
Surah Nuh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
While He has created you in stages?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?
Na hali Yeye ndiye aliye kuumbeni kwa madaraja, tangu tone ya manii, kisha pande la damu, kisha pande la nyama, kisha mafupa na nyama?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.
- Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
- Hebu tuangushie vipande kutoka mbinguni ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.
- Na siku atapo waita na akasema: Mliwajibu nini Mitume?
- Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa.
- Kisha hautakuwa udhuru wao ila ni kusema: Wallahi! Mola wetu Mlezi! Hatukuwa washirikina.
- Je, umemwona aliye zikanya Ishara zetu na akasema: Kwa hakika mimi nitapewa mali na wana!
- Na mkiwaita kwenye uwongofu, hawakufuateni. Ni mamoja kwenu ikiwa mtawaita au mkinyamaza.
- Basi akawatokea watu wake katika pambo lake. Wakasema wale walio kuwa wanataka maisha ya duniani:
- Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



