Surah Kahf aya 59 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Kahf aya 59 in arabic text(The Cave).
  
   

﴿وَتِلْكَ الْقُرَىٰ أَهْلَكْنَاهُمْ لَمَّا ظَلَمُوا وَجَعَلْنَا لِمَهْلِكِهِم مَّوْعِدًا﴾
[ الكهف: 59]

Na miji hiyo tuliwaangamiza watu wake walipo dhulumu. Na tukawawekea miadi ya maangamizo yao.

Surah Al-Kahf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And those cities - We destroyed them when they wronged, and We made for their destruction an appointed time.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na miji hiyo tuliwaangamiza watu wake walipo dhulumu. Na tukawawekea miadi ya maangamizo yao.


Na hii basi ndio miji ya kale tuliyo iteketeza pale watu wao walipo dhulumu kwa kuwakanusha Mitume wao. Na Sisi tukawawekea miadi ya kuwaangamiza isiyo na khitilafu. Hali kadhaalika itakuwa ya hao katika kaumu yako wanao kanusha, ikiwa hawaamini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 59 from Kahf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Mola wenu Mlezi ndiye anaye kuendesheeni marikebu katika bahari ili mtafute katika fadhila zake. Hakika
  2. Na ngamia wa sadaka tumekufanyieni kuwa ni kudhihirisha matukuzo kwa Mwenyezi Mungu; kwa hao mna
  3. Mola wetu Mlezi! Tulizidiwa na uovu wetu na tukawa watu tulio potea.
  4. Na wakasema: Hivi ni visa vya watu wa kale alivyo viandikisha, anavyo somewa asubuhi na
  5. Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
  6. Wala msifanye jina la Mwenyezi Mungu katika viapo vyenu kuwa ni kisingizio cha kuacha kufanya
  7. Na ni nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye zuia misikiti ya Mwenyezi Mungu kutajwa ndani
  8. Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye kusalimu amri.
  9. Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na acheni riba zilizo bakia, ikiwa nyinyi ni Waumini.
  10. Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Surah Kahf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Kahf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Kahf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Kahf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Kahf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Kahf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Kahf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Kahf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Kahf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Kahf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Kahf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Kahf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Kahf Al Hosary
Al Hosary
Surah Kahf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Kahf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, August 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers