Surah Tahrim aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Tahrim aya 6 in arabic text(The Prohibition).
  
   

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا قُوا أَنفُسَكُمْ وَأَهْلِيكُمْ نَارًا وَقُودُهَا النَّاسُ وَالْحِجَارَةُ عَلَيْهَا مَلَائِكَةٌ غِلَاظٌ شِدَادٌ لَّا يَعْصُونَ اللَّهَ مَا أَمَرَهُمْ وَيَفْعَلُونَ مَا يُؤْمَرُونَ﴾
[ التحريم: 6]

Enyi mlio amini! Jilindeni nafsi zenu na ahali zenu na Moto ambao kuni zake ni watu na mawe. Wanausimamia Malaika wakali, wenye nguvu, hawamuasi Mwenyezi Mungu kwa anayo waamrisha, na wanatenda wanayo amrishwa.

Surah At-Tahreem in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


O you who have believed, protect yourselves and your families from a Fire whose fuel is people and stones, over which are [appointed] angels, harsh and severe; they do not disobey Allah in what He commands them but do what they are commanded.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Enyi mlio amini! Jilindeni nafsi zenu na ahali zenu na Moto ambao kuni zake ni watu na mawe. Wanausimamia Malaika wakali, wenye nguvu, hawamuasi Mwenyezi Mungu kwa anayo waamrisha, na wanatenda wanayo amrishwa.


Enyi mlio amini! Jihifadhini nafsi zenu na ahali zenu na Moto, ambao kuni zake ni watu na mawe. Wanao simamia kazi yake na kuwaadhibu waliomo humo ni Malaika wakali, na wana nguvu katika muamala wao. Na wao hutekeleza lile wanalo amrishwa, wala hawakawilishi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from Tahrim


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu kwenu.
  2. Siku watakayo dhihiri wao. Hapana kitacho fichikana chochote chao kwa Mwenyezi Mungu. Ufalme ni wa
  3. Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa gizani.
  4. Mwenyezi Mungu anajua mimba abebayo kila mwanamke, na kinacho punguka na kuzidi matumboni. Na kila
  5. Wakasema: Nani aliye ifanyia haya miungu yetu? Hakika huyu ni katika walio dhulumu.
  6. Akasema: Bila ya shaka nyinyi na baba zenu mmekuwa katika upotofu ulio dhaahiri.
  7. Hakika wale wanao mkataa Mwenyezi Mungu na Mitume wake, na wanataka kufarikisha baina ya Mwenyezi
  8. Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu
  9. Akasema: Basi teremka kutoka humo! Haikufalii kufanya kiburi humo. Basi toka! Hakika wewe u miongoni
  10. Na lau kuwa wangeli ingiliwa kwa pande zote, kisha wakatakiwa kufanya khiana, wangeli fanya, na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Tahrim with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Tahrim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tahrim Complete with high quality
Surah Tahrim Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Tahrim Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Tahrim Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Tahrim Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Tahrim Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Tahrim Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Tahrim Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Tahrim Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Tahrim Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Tahrim Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Tahrim Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Tahrim Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Tahrim Al Hosary
Al Hosary
Surah Tahrim Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Tahrim Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, April 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers