Surah Tahrim aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Tahrim aya 6 in arabic text(The Prohibition).
  
   

﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا قُوا أَنفُسَكُمْ وَأَهْلِيكُمْ نَارًا وَقُودُهَا النَّاسُ وَالْحِجَارَةُ عَلَيْهَا مَلَائِكَةٌ غِلَاظٌ شِدَادٌ لَّا يَعْصُونَ اللَّهَ مَا أَمَرَهُمْ وَيَفْعَلُونَ مَا يُؤْمَرُونَ﴾
[ التحريم: 6]

Enyi mlio amini! Jilindeni nafsi zenu na ahali zenu na Moto ambao kuni zake ni watu na mawe. Wanausimamia Malaika wakali, wenye nguvu, hawamuasi Mwenyezi Mungu kwa anayo waamrisha, na wanatenda wanayo amrishwa.

Surah At-Tahreem in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


O you who have believed, protect yourselves and your families from a Fire whose fuel is people and stones, over which are [appointed] angels, harsh and severe; they do not disobey Allah in what He commands them but do what they are commanded.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Enyi mlio amini! Jilindeni nafsi zenu na ahali zenu na Moto ambao kuni zake ni watu na mawe. Wanausimamia Malaika wakali, wenye nguvu, hawamuasi Mwenyezi Mungu kwa anayo waamrisha, na wanatenda wanayo amrishwa.


Enyi mlio amini! Jihifadhini nafsi zenu na ahali zenu na Moto, ambao kuni zake ni watu na mawe. Wanao simamia kazi yake na kuwaadhibu waliomo humo ni Malaika wakali, na wana nguvu katika muamala wao. Na wao hutekeleza lile wanalo amrishwa, wala hawakawilishi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from Tahrim


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na unapo kuwa pamoja nao, ukawasalisha, basi kundi moja miongoni mwao wasimame pamoja nawe na
  2. Na hao walikwisha wapoteza wengi, wala usiwazidishie walio dhulumu ila kupotea.
  3. Na wakasema: Ewe mchawi! Tuombee kwa Mola wako Mlezi kwa ile ahadi aliyo kuahidi; hakika
  4. Na wale wanao jitenga na wake zao, kisha wakarudia katika yale waliyo yasema, basi wamkomboe
  5. Ewe Nabii! Hakika Sisi tumekutuma uwe shahidi na mbashiri na mwonyaji,
  6. (Yule mtu) akasema: Huku ndio kufarikiana baina yangu na wewe. Sasa nitakueleza maana ya yale
  7. Basi kuleni katika mlivyo teka, ni halali na vizuri, na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi
  8. Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu. Wewe
  9. Wala msiwape wasio na akili mali yenu ambayo Mwenyezi Mungu ameyajaalia yawe ni kiamu yenu.
  10. Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Tahrim with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Tahrim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tahrim Complete with high quality
Surah Tahrim Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Tahrim Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Tahrim Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Tahrim Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Tahrim Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Tahrim Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Tahrim Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Tahrim Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Tahrim Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Tahrim Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Tahrim Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Tahrim Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Tahrim Al Hosary
Al Hosary
Surah Tahrim Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Tahrim Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, February 23, 2026

Please remember us in your sincere prayers