Surah Ahzab aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahzab aya 36 in arabic text(Confederates - The Combined Forces).
  
   

﴿وَمَا كَانَ لِمُؤْمِنٍ وَلَا مُؤْمِنَةٍ إِذَا قَضَى اللَّهُ وَرَسُولُهُ أَمْرًا أَن يَكُونَ لَهُمُ الْخِيَرَةُ مِنْ أَمْرِهِمْ ۗ وَمَن يَعْصِ اللَّهَ وَرَسُولَهُ فَقَدْ ضَلَّ ضَلَالًا مُّبِينًا
[ الأحزاب: 36]

Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanapo kata shauri katika jambo lao. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi hakika amepotea upotofu ulio wazi.

Surah Al-Ahzab in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It is not for a believing man or a believing woman, when Allah and His Messenger have decided a matter, that they should [thereafter] have any choice about their affair. And whoever disobeys Allah and His Messenger has certainly strayed into clear error.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Haiwi kwa Muumini mwanamume wala Muumini mwanamke kuwa na khiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanapo kata shauri katika jambo lao. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi hakika amepotea upotofu ulio wazi.


Haimjuzii Muumini, mwanamume au mwanamke, kuwa na khiari katika jambo lolote baada ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake wakisha lihukumia. Na mwenye kwenda kinyume na alivyo hukumu Mwenyezi Mungu na Mtume wake basi amejitenga mbali na njia iliyo sawa kwa umbali ulio dhaahiri.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 36 from Ahzab


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na kheri yoyote wanayo ifanya hawatanyimwa malipwa yake. Na Mwenyezi Mungu anawajua wachamngu.
  2. Nasi hatukuwatuma kabla yako ila watu wanaume tulio wapa Wahyi (Ufunuo). Basi waulizeni wenye ukumbusho
  3. Basi labda utaacha baadhi ya yale yaliyo funuliwa kwako, na kifua kitaona dhiki kwa hayo,
  4. Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
  5. Naye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi kwa Haki. Na anaposema: Kuwa! Basi huwa. Kauli
  6. Haki inatoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wanao fanya shaka.
  7. Basi yule bwana alipoona kanzu yake imechanwa kwa nyuma, alisema: Hakika haya ni katika vitimbi
  8. Basi anaye tenda chembe ya wema, atauona!
  9. Na Mwenyezi Mungu hakuwa wa kuwaadhibu nawe umo pamoja nao, wala Mwenyezi Mungu si wa
  10. (Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ahzab with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ahzab mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahzab Complete with high quality
Surah Ahzab Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ahzab Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ahzab Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ahzab Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ahzab Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ahzab Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ahzab Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ahzab Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ahzab Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ahzab Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ahzab Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ahzab Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ahzab Al Hosary
Al Hosary
Surah Ahzab Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ahzab Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, August 2, 2025

Please remember us in your sincere prayers