Surah Anfal aya 65 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anfal aya 65 in arabic text(The Spoils of War).
  
   

﴿يَا أَيُّهَا النَّبِيُّ حَرِّضِ الْمُؤْمِنِينَ عَلَى الْقِتَالِ ۚ إِن يَكُن مِّنكُمْ عِشْرُونَ صَابِرُونَ يَغْلِبُوا مِائَتَيْنِ ۚ وَإِن يَكُن مِّنكُم مِّائَةٌ يَغْلِبُوا أَلْفًا مِّنَ الَّذِينَ كَفَرُوا بِأَنَّهُمْ قَوْمٌ لَّا يَفْقَهُونَ
[ الأنفال: 65]

Ewe Nabii! Wahimize Waumini wende vitani. Wakiwapo kati yenu ishirini wanao subiri watawashinda mia mbili. Na wakiwapo kati yenu mia watawashinda elfu moja katika walio kufuru. Kwa sababu wao ni watu wasio fahamu.

Surah Al-Anfal in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


O Prophet, urge the believers to battle. If there are among you twenty [who are] steadfast, they will overcome two hundred. And if there are among you one hundred [who are] steadfast, they will overcome a thousand of those who have disbelieved because they are a people who do not understand.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ewe Nabii! Wahimize Waumini wende vitani. Wakiwapo kati yenu ishirini wanao subiri watawashinda mia mbili. Na wakiwapo kati yenu mia watawashinda elfu moja katika walio kufuru. Kwa sababu wao ni watu wasio fahamu.


Ewe Nabii! Wahimize Waumini wende vitani kwa ajili ya kulinyanyua Neno la Mwenyezi Mungu, na wapendezeshe kwa yatayo wafwatia katika kheri ya dunia na Akhera watayo ipata, ili nafsi zao ziingie nguvu. Nayo ikiwa wapo kati yenu watu ishirini walio shikamana na Imani na subira na utiifu, basi watawashinda makafiri mia mbili. Hayo ni kwa sababu wao ni watu wasio fahamu ukweli wa mambo, kwani hawana Imani, wala subira, wala tamaa ya kupata thawabu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 65 from Anfal


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
    Surah Anfal Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Anfal Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Anfal Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Anfal Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Anfal Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Anfal Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Anfal Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Anfal Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Anfal Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Anfal Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Anfal Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Anfal Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Anfal Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Anfal Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Anfal Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers