Surah Hajj aya 52 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hajj aya 52 in arabic text(The Pilgrimage).
  
   

﴿وَمَا أَرْسَلْنَا مِن قَبْلِكَ مِن رَّسُولٍ وَلَا نَبِيٍّ إِلَّا إِذَا تَمَنَّىٰ أَلْقَى الشَّيْطَانُ فِي أُمْنِيَّتِهِ فَيَنسَخُ اللَّهُ مَا يُلْقِي الشَّيْطَانُ ثُمَّ يُحْكِمُ اللَّهُ آيَاتِهِ ۗ وَاللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌ
[ الحج: 52]

Na hatukumtuma kabla yako Mtume wala Nabii ila anapo soma, Shet'ani hutumbukiza katika masomo yake. Lakini Mwenyezi Mungu huyaondoa anayo yatia Shet'ani; kisha Mwenyezi Mungu huzithibitisha Aya zake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima.

Surah Al-Hajj in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We did not send before you any messenger or prophet except that when he spoke [or recited], Satan threw into it [some misunderstanding]. But Allah abolishes that which Satan throws in; then Allah makes precise His verses. And Allah is Knowing and Wise.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hatukumtuma kabla yako Mtume wala Nabii ila anapo soma, Shetani hutumbukiza katika masomo yake. Lakini Mwenyezi Mungu huyaondoa anayo yatia Shetani; kisha Mwenyezi Mungu huzithibitisha Aya zake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima.


Ewe Nabii! Usihuzunike kwa hizi hila za makafiri. Yalimpata kama haya kila Mtume katika Mitume wetu, na kila Nabii katika Manabii wetu. Nayo ni kuwa kila wakiwasomea kitu kwa kuwaita waifuate Haki Mashetani wa kibinaadamu walio asi wakiyapinga ili waubatilishe Wito, na wawatie shaka watu kwa yale wanayo somewa. Makusudio yao ni kujiingiza kati baina ya Nabii na matamanio yake ya kutaka Wito wake uitikiwe. Lakini Mwenyezi Mungu huyaondoa wayatakayo. Na mwishoe Haki ndiyo inayo shinda anapo isimamisha Mwenyezi Mungu sharia yake, na akamnusuru Mtume wake. Na Yeye ndiye Mwenye kuzijua hali za watu na vitimbi vyao, Mwenye hikima katika vitendo vyake. Anaweka kila kitu pahala pake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 52 from Hajj


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
    Surah Hajj Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Hajj Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Hajj Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Hajj Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Hajj Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Hajj Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Hajj Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Hajj Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Hajj Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Hajj Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Hajj Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Hajj Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Hajj Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Hajj Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Hajj Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Monday, April 7, 2025

    Please remember us in your sincere prayers