Surah Al Isra aya 38 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كُلُّ ذَٰلِكَ كَانَ سَيِّئُهُ عِندَ رَبِّكَ مَكْرُوهًا﴾
[ الإسراء: 38]
Haya yote ubaya wake ni wenye kuchukiza kwa Mola wako Mlezi.
Surah Al-Isra in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
All that - its evil is ever, in the sight of your Lord, detested.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Haya yote ubaya wake ni wenye kuchukiza kwa Mola wako Mlezi.
Yote hayo yaliyo tajwa katika mausio ni mambo mabaya yaliyo katazwa na yanayo chusha na kuchukiza kwa Mola wako Mlezi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hatauingia ila mwovu kabisa!
- Wakae humo milele.
- Mpaka siku ya wakati maalumu.
- Bila ya shaka mnaye niitia kumuabudu hastahiki wito duniani wala Akhera. Na hakika marejeo yetu
- Akasema: Je! Yanakusikieni mnapo yaita?
- Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.
- Na siku watakapo letwa makafiri Motoni wakaambiwa: Je! Haya si kweli? Watasema: Kwani? Tunaapa kwa
- Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
- Na kila umma una muda wake. Utakapo fika muda wao basi hawatakawia hata saa moja,
- Mfalme alisema: Mlikuwa mna nini mlipo mtaka Yusuf kinyume na nafsi yake? Wakasema: Hasha Lillahi!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers