Surah Al Isra aya 38 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كُلُّ ذَٰلِكَ كَانَ سَيِّئُهُ عِندَ رَبِّكَ مَكْرُوهًا﴾
[ الإسراء: 38]
Haya yote ubaya wake ni wenye kuchukiza kwa Mola wako Mlezi.
Surah Al-Isra in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
All that - its evil is ever, in the sight of your Lord, detested.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Haya yote ubaya wake ni wenye kuchukiza kwa Mola wako Mlezi.
Yote hayo yaliyo tajwa katika mausio ni mambo mabaya yaliyo katazwa na yanayo chusha na kuchukiza kwa Mola wako Mlezi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mwenye kumkhofia muusiaji kwenda kombo au kupata dhambi akasuluhisha baina yao, basi hatakuwa na
- Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
- Itapo chanika mbingu,
- Je! Mnajenga juu ya kila mnyanyuko kumbusho la kufanyia upuuzi?
- Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
- Hata watakapo yaona wanayo ahidiwa, ndipo watakapo jua ni nani mwenye msaidizi dhaifu, na mchache
- Wala usiwafukuze wanao mwomba Mola Mlezi wao asubuhi na jioni kwa kutaka radhi yake. Si
- Wala hawatakuwa na waombezi miongoni mwa walio kuwa wakiwashirikisha na Mungu; na wao wenyewe watawakataa
- Na walikaa katika pango lao miaka mia tatu, na wakazidisha tisa.
- Hakika nyinyi mnaabudu masanamu badala ya Mwenyezi Mungu, na mnazua uzushi. Hakika hao mnao waabudu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers