Surah Al Qamar aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مُّهْطِعِينَ إِلَى الدَّاعِ ۖ يَقُولُ الْكَافِرُونَ هَٰذَا يَوْمٌ عَسِرٌ﴾
[ القمر: 8]
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Racing ahead toward the Caller. The disbelievers will say, "This is a difficult Day."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
Wakimkimbilia huyo mwitaji, wakimtazama kwa unyonge na unyenekevu, macho yao yanamwangalia yeye tu. Makafiri watasema Siku ya Kiyama: Hii leo ni siku nzito, siku ya shida!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Huoni jinsi Mola wako Mlezi anavyo kitandaza kivuli. Na angeli taka angeli kifanya kikatulia
- Hatukuziumba mbingu na ardhi wala yaliyomo baina yake ila kwa haki na kwa muda maalumu.
- Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini.
- Wakifurushwa. Na wanayo adhabu ya kudumu.
- Haikuwa hii ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
- Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
- Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
- Ndio kama hivi tumekutuma kwa umma ambao wamekwsiha pita kabla yao umati nyengine, ili uwasomee
- Mali na wana ni pambo la maisha ya dunia. Na mema yanayo bakia ni bora
- Sema: Hakika ujuzi wake uko kwa Mwenyezi Mungu; na hakika mimi ni mwonyaji tu mwenye
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers