Surah Al Qamar aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مُّهْطِعِينَ إِلَى الدَّاعِ ۖ يَقُولُ الْكَافِرُونَ هَٰذَا يَوْمٌ عَسِرٌ﴾
[ القمر: 8]
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Racing ahead toward the Caller. The disbelievers will say, "This is a difficult Day."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
Wakimkimbilia huyo mwitaji, wakimtazama kwa unyonge na unyenekevu, macho yao yanamwangalia yeye tu. Makafiri watasema Siku ya Kiyama: Hii leo ni siku nzito, siku ya shida!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa ajili ya watu wa kuliani.
- Hakika Sisi tumekuteremshia Qur'ani kidogo kidogo.
- Enyi wake wa Nabii! Nyinyi si kama yeyote katika wanawake wengine. Kama mnamcha Mungu basi
- Kwa nafuu yenu na mifugo yenu.
- Kwa wafanyao wema ni wema na zaidi. Wala vumbi halitawafunika nyuso zao, wala madhila. Hao
- Na ni vya Mwenyezi Mungu tu vyote vilivyo fichikana katika ardhi na mbingu, na mambo
- Na amka usiku kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. Huenda Mola wako
- Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
- Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.
- Hakika huo utafungiwa nao
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers