Surah Al Qamar aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مُّهْطِعِينَ إِلَى الدَّاعِ ۖ يَقُولُ الْكَافِرُونَ هَٰذَا يَوْمٌ عَسِرٌ﴾
[ القمر: 8]
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Racing ahead toward the Caller. The disbelievers will say, "This is a difficult Day."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wanamkimbilia mwitaji, na makafiri wanasema: Hii ni siku ngumu.
Wakimkimbilia huyo mwitaji, wakimtazama kwa unyonge na unyenekevu, macho yao yanamwangalia yeye tu. Makafiri watasema Siku ya Kiyama: Hii leo ni siku nzito, siku ya shida!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha Adam akapokea maneno kwa Mola wake Mlezi, na Mola wake Mlezi alimkubalia toba yake;
- Wala hii si kauli ya Shetani maluuni.
- Sema: Mwaonaje yakiwa haya ni kweli yametoka kwa Mwenyezi Mungu, nanyi mmeyakataa, na akashuhudia shahidi
- Mara watakuwa kwenye uwanda wa mkutano!
- Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
- Na haiwezekani kwa Nabii yeyote kufanya khiyana. Na atakaye fanya khiyana, atayaleta Siku ya Kiyama
- Na Shet'ani akikuchochea kwa uchochezi wewe jikinge kwa Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia,
- Hakika Sisi tutairithi ardhi na walio juu yake. Na kwetu watarejeshwa.
- Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
- KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



