Surah Yunus aya 68 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yunus aya 68 in arabic text(Jonah).
  
   
ayat 68 from Surah Yunus

﴿قَالُوا اتَّخَذَ اللَّهُ وَلَدًا ۗ سُبْحَانَهُ ۖ هُوَ الْغَنِيُّ ۖ لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۚ إِنْ عِندَكُم مِّن سُلْطَانٍ بِهَٰذَا ۚ أَتَقُولُونَ عَلَى اللَّهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ
[ يونس: 68]

Wamesema: Mwenyezi Mungu ana mwana. Subhanahu, Aliye takasika! Yeye ni Mkwasi, Mwenye Kujitosheleza. Vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi ni vyake peke yake. Nyinyi hamna uthibitisho wowote wa haya! Mnamzulia Mwenyezi Mungu msiyo yajua?

Surah Yunus in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They have said, "Allah has taken a son." Exalted is He; He is the [one] Free of need. To Him belongs whatever is in the heavens and whatever is in the earth. You have no authority for this [claim]. Do you say about Allah that which you do not know?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wamesema: Mwenyezi Mungu ana mwana. Subhanahu, Aliye takasika! Yeye ni Mkwasi, Mwenye Kujitosheleza. Vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi ni vyake peke yake. Nyinyi hamna uthibitisho wowote wa haya! Mnamzulia Mwenyezi Mungu msiyo yajua?


Na ikiwa wanao abudu masanamu wamefanya ushirikina wa kuabudu mawe, na hawakumtakasa Mwenyezi Mungu kwa haki ya kumtakasa, na wakasema kuwa Allah, Mwenyezi Mungu, ana mwana, basi Mwenyezi Mungu ametakasika na hayo. Yeye hana haja ya kuwa na mwana; kwani kuwa na mwana kunaonyesha wazi kutaka kubakia ukoo wako baada ya kufa kwako. Na Mwenyezi Mungu hafi. Yeye ni Mwenye kubakia milele. Na vyote viliomo katika mbingu na viliomo katika ardhi ni vyake, vimeumbwa na vinaendeshwa na Yeye. Na nyinyi wazushi, hamna hoja yoyote wala dalili ya hayo mnayo zua! Basi msikhitalifiane juu ya Mwenyezi Mungu kwa mambo yasiyo na msingi wa hakika.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 68 from Yunus


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
    Surah Yunus Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Yunus Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Yunus Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Yunus Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Yunus Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Yunus Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Yunus Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Yunus Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Yunus Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Yunus Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Yunus Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Yunus Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Yunus Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Yunus Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Yunus Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Monday, April 7, 2025

    Please remember us in your sincere prayers