Surah Assaaffat aya 91 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَرَاغَ إِلَىٰ آلِهَتِهِمْ فَقَالَ أَلَا تَأْكُلُونَ﴾
[ الصافات: 91]
Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then he turned to their gods and said, "Do you not eat?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?
Akayaendea kwa haraka yale masanamu kwa kificho, na akayapa chakula ambacho wale washirikina walikiweka mbele yao ili nao wapate baraka yao kwa mujibu wa madai yao. Akasema kwa maskhara na kejeli: Mbona hamli?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi mnakwenda wapi?
- Wakasema: Mchomeni moto, na muinusuru miungu yenu, ikiwa nyinyi ni watendao jambo!
- Na katika ardhi vimo vipande vilivyo karibiana, na zipo bustani za mizabibu, na mimea mingine,
- Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.
- Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza kukimbia.
- Lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka kuwa na mwana, basi bila ya shaka angeli teua
- Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la T'uwaa, akamwambia:
- Wala asikuzuilieni Shet'ani. Hakika yeye ni adui yenu wa dhaahiri.
- Sema: Ni vya nani viliomo katika mbingu na katika ardhi? Sema: Ni vya Mwenyezi Mungu.
- Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers