Surah Yunus aya 69 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُلْ إِنَّ الَّذِينَ يَفْتَرُونَ عَلَى اللَّهِ الْكَذِبَ لَا يُفْلِحُونَ﴾
[ يونس: 69]
Sema: Hao wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa.
Surah Yunus in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Say, "Indeed, those who invent falsehood about Allah will not succeed."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sema: Hao wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa.
Ewe Mtume! Waambie: Hao wanao mtungia Mwenyezi Mungu uwongo, na wanadai kuwa ana mwana, hawatafanikiwa milele.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ya kwamba msimuabudu isipo kuwa Mwenyezi Mungu tu. Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Chungu.
- Na umtegemee Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
- Na huwaje wakufanye wewe hakimu nao wanayo Taurati yenye hukumu za Mwenyezi Mungu? Kisha baada
- Na tukimneemesha mwanaadamu hugeuka na kujitenga upande, na inapo mgusa shari, huwa na madua marefu
- Kwa sababu alimjia kipofu!
- Na enyi watu wangu! Fanyeni mwezayo, na mimi pia ninafanya. Karibuni mtajua ni nani itakaye
- Na mazulia yaliyo tandikwa.
- Na wao wanapata kwao manufaa na vinywaji. Basi je, hawashukuru?
- Waseme: Lakini nyinyi! Hamna mapokezi mazuri! Nyinyi ndio mlio tusabibisha haya, napo ni pahala paovu
- Kwa nafuu yenu na mifugo yenu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers