Surah Fatiha aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fatiha aya 7 in arabic text(The Opening).
  
   

﴿صِرَاطَ الَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ الْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا الضَّالِّينَ﴾
[ الفاتحة: 7]

Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.

Surah Al-Fatihah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The path of those upon whom You have bestowed favor, not of those who have evoked [Your] anger or of those who are astray.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Njia ya ulio waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.


Na njia hiyo ndiyo ya waja wako ulio wawezesha kukuamini Wewe, na ukawajaalia neema ya uwongofu na radhi, sio njia ya walio stahiki kupata ghadhabu zako na wakaiwacha njia ya haki na kheri, kwa sababu hao wameitupa imani kukuamini Wewe na kuelekea kwenye uwongofu wako. (Hapana katika Vitabu vyote vitakatifu, vya dini zote, dua inayo lingana na hii kwa uzuri wake, na utimilivu wake. Baada ya kumsifu Mwenyezi Mungu kwa Rehema yake isio na ukomo wala kipimo, na kumshukuru Mola Mwenye kuviumba na kuviangalia na kuvilea kwa huruma viumbe vyote, na kuhakikisha kuwa tunajua kuwa hapana Mungu ila Yeye tu wa kuabudiwa na kuombwa msaada, na kuwa hapana wa kumuingilia katika Ufalme wake na Uwezo wake wa kulipa hisabu kwa kila alitendalo mtu, hapo tena ndio tunaomba. Na tunaomba nini? Si mkate wa kula, wala riziki yoyote, wala jambo lolote la manufaa ya kimwili duniani, bali tunaomba Uwongofu kwenye Njia Iliyo Nyooka, Njia ya kumwendea Yeye Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehema. Tunaomba tusiendee njia waliyo ifuata wale walio kasirikiwa na Mwenyezi Mungu, kwa kuwa walifunzwa wakajua, lakini kwa chuki na jeuri wakakataa kuongoka, wala sio njia ya wale ambao labda kwa ujinga wamepotea. Hiyo kwa mukhtasari ndiyo Dua ambayo Waislamu, wanafunzwa waiombe, na wanaiomba mara kadhaa wa kadhaa katika Sala zao, na katika kila fursa inapo tokea.)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 7 from Fatiha


Ayats from Quran in Swahili

  1. Sema: Ni vya nani viliomo katika mbingu na katika ardhi? Sema: Ni vya Mwenyezi Mungu.
  2. Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
  3. Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
  4. Basi walipo liona wingu likielekea kwenye mabonde yao, walisema: Wingu hili la kutunyeshea mvua! Kumbe
  5. Ikawa inakwenda kwa nadhari yetu, kuwa ni malipo kwa alivyo kuwa amekanushwa.
  6. Hawawi sawa Waumini wanao kaa tu wala hawanadharura, na wale wanao pigana katika Njia ya
  7. Na wenye kumt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume, hao wa pamoja na wale alio waneemesha Mwenyezi
  8. Chukua sadaka katika mali zao, uwasafishe na uwatakase kwazo, na uwaombee rehema. Hakika maombi yako
  9. Je! Wao hawaoni jinsi Mwenyezi Mungu anavyo anzisha uumbaji, na kisha akarudisha tena. Hakika hayo
  10. Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fatiha with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fatiha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatiha Complete with high quality
Surah Fatiha Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fatiha Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fatiha Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fatiha Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fatiha Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fatiha Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fatiha Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Fatiha Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fatiha Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fatiha Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fatiha Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fatiha Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fatiha Al Hosary
Al Hosary
Surah Fatiha Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fatiha Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 11, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب