Surah Kahf aya 70 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ فَإِنِ اتَّبَعْتَنِي فَلَا تَسْأَلْنِي عَن شَيْءٍ حَتَّىٰ أُحْدِثَ لَكَ مِنْهُ ذِكْرًا﴾
[ الكهف: 70]
Akasema: Basi ukinifuata usiniulize kitu mpaka mimi nianze kukutajia.
Surah Al-Kahf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He said, "Then if you follow me, do not ask me about anything until I make to you about it mention."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Basi ukinifuata usiniulize kitu mpaka mimi nianze kukutajia.
Yule mja mwema akasema: Basi ukinifuata na ukayaona usiyo yafahamu, usiingie kuniuliza mpaka nianze mimi kukusimulia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Mkimcha Mwenyezi Mungu atakupeni kipambanuo, na atakufutieni makosa, na atakusameheni, na Mwenyezi
- Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
- Hakika Sisi tulikwisha mpa Musa Kitabu. Basi usiwe na shaka kuwa kakipokea. Na tukakifanya kuwa
- Basi ingia miongoni mwa waja wangu,
- Na pia kwa kufuru zao na kumsingizia kwao Maryamu uwongo mkubwa,
- Hayo ni apate kujua ya kwamba mimi sikumfanyia khiyana nyuma yake; na ya kwamba Mwenyezi
- Na Mwenyezi Mungu angeli jua wema wowote kwao ange wasikilizisha, na lau ange wasikilizisha wangeli
- Na wote waliomo duniani, kisha aokoke yeye.
- Na kuvitoa vilivyo kuwa ndani yake, ikawa tupu,
- Kwa hakika katika hadithi zao limo zingatio kwa wenye akili. Si maneno yaliyo zuliwa, bali
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers