Surah Shuara aya 70 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَا تَعْبُدُونَ﴾
[ الشعراء: 70]
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When he said to his father and his people, "What do you worship?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
Alipo mwambia baba yake: Mnaabudu kitu gani hichi, ambacho hakifai kuabudiwa? Anakusudia kwa hayo kuyakebehi masanamu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
- Hakika mtu ameumbwa na papara.
- Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.
- Na Mwenyezi Mungu anaita kwendea Nyumba ya Amani, na anamwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka.
- Na ambaye ndiye ananilisha na kuninywesha.
- Na wakasema: Hivi ni visa vya watu wa kale alivyo viandikisha, anavyo somewa asubuhi na
- Watadumu humo muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola wako Mlezi. Hakika
- Ati anaye umba ni kama asiye umba? Basi hebu, hamkumbuki?
- Na litapulizwa baragumu. Hiyo ndiyo Siku ya Miadi.
- Na ukinyanyua sauti kwa kusema... basi hakika Yeye anajua siri na duni kuliko siri.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



