Surah Shuara aya 71 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا نَعْبُدُ أَصْنَامًا فَنَظَلُّ لَهَا عَاكِفِينَ﴾
[ الشعراء: 71]
Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They said, "We worship idols and remain to them devoted."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.
Wakasema kujibu kwa njia ya kujitapa: Tunaabudu masanamu, nasi tunadumu daima dawamu tukiyaabudu, kwa kuyaadhimisha na kuyatukuza!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wa kupewa sadaka ni mafakiri, na masikini, na wanao zitumikia, na wa kutiwa nguvu nyoyo
- Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
- Aibu yenu nyinyi na hivyo mnavyo viabudu badala ya Mwenyezi Mungu! Basi nyinyi hamtii akilini?
- Wala hahimizi kumlisha masikini.
- Na ametukuka Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi na viliomo ndani yake. Na uko kwake
- Alipo waambia ndugu yao, Nuhu: Je! Hamchimngu?
- Na Ibrahim pale alipo waambia watu wake: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na mcheni Yeye. Hiyo ndiyo
- Na unapo waona, miili yao inakupendeza, na wakisema, unasikiliza usemi wao. Lakini wao ni kama
- Ili mtembee humo katika njia zilizo pana.
- Na Sisi ndio tunao huisha na tunao fisha. Na Sisi ndio Warithi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



