Surah Qasas aya 71 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qasas aya 71 in arabic text(The Stories).
  
   

﴿قُلْ أَرَأَيْتُمْ إِن جَعَلَ اللَّهُ عَلَيْكُمُ اللَّيْلَ سَرْمَدًا إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ مَنْ إِلَٰهٌ غَيْرُ اللَّهِ يَأْتِيكُم بِضِيَاءٍ ۖ أَفَلَا تَسْمَعُونَ
[ القصص: 71]

Sema: Mwaonaje, Mwenyezi Mungu angeli ufanya usiku umekukalieni moja kwa moja mpaka Siku ya Kiyama, mungu gani asiye kuwa Mwenyezi Mungu atakaye kuleteeni mwangaza? Basi je, hamsikii?

Surah Al-Qasas in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "Have you considered: if Allah should make for you the night continuous until the Day of Resurrection, what deity other than Allah could bring you light? Then will you not hear?"


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Mwaonaje, Mwenyezi Mungu angeli ufanya usiku umekukalieni moja kwa moja mpaka Siku ya Kiyama, mungu gani asiye kuwa Mwenyezi Mungu atakaye kuleteeni mwangaza? Basi je, hamsikii?


Ewe Mtume! Sema: Enyi watu! Niambieni, Mwenyezi Mungu akikufanyieni usiku uendelee mfululizo bila ya mchana mpaka Siku ya Kiyama, je! Mnaye yeyote asiye kuwa Mwenyezi Mungu wa kukuleteeni mchana wenye mwangaza mkaweza kushughulikia maisha yenu na kuendesha mambo yenu ya dunia? Hamna hayo nyinyi. Basi kwa nini hamsikii kwa sikio la kuwaza na kuzingatia?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 71 from Qasas


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika wale walio zikataa Ishara zetu tutawaingiza Motoni. Kila zitapo wiva ngozi zao tutawabadilishia ngozi
  2. Hebu tuangushie vipande kutoka mbinguni ikiwa wewe ni miongoni mwa wasemao kweli.
  3. Na wakahudhurishwa mbele ya Mola wako Mlezi kwa safu (wakaambiwa): Mmetujia kama tulivyo kuumbeni mara
  4. Na wote tuliwapigia mifano, na wote tuliwaangamiza kabisa kabisa.
  5. Sema: Hivyo mnatutazamia litupate lolote isipo kuwa moja katika mema mawili? Na sisi tunakutazamieni kuwa
  6. Na Mwenyezi Mungu anaita kwendea Nyumba ya Amani, na anamwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka.
  7. Ni vya Mwenyezi Mungu vyote viliomo mbinguni na katika ardhi. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mkwasi,
  8. Na walio kufuru na wakakadhibisha Ishara zetu, hao ni watu wa Motoni, watadumu humo milele.
  9. Wataingia humo Siku ya Malipo.
  10. Kwani tulichoka kwa kuumba mara ya kwanza. Bali wao wamo katika shaka tu juu ya

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Surah Qasas Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qasas Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qasas Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qasas Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qasas Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qasas Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qasas Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Qasas Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qasas Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qasas Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qasas Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qasas Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qasas Al Hosary
Al Hosary
Surah Qasas Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qasas Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, August 15, 2024

Please remember us in your sincere prayers