Surah Sad aya 73 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَسَجَدَ الْمَلَائِكَةُ كُلُّهُمْ أَجْمَعُونَ﴾
[ ص: 73]
Basi Malaika wakat'ii wote pamoja.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So the angels prostrated - all of them entirely.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi Malaika wakatii wote pamoja.
Malaika wote wakafanya kama walivyo amrishwa, wakamuangukia wakisujudu, isipo kuwa Iblisi. Yeye hakusujudu, na akajiona bora na akapanda kiburi, na akawa miongoni mwa makafiri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Waambie waja wangu waseme maneno mazuri, maana Shet'ani huchochea ugomvi baina yao. Hakika Shet'ani ni
- Atasema Mwenyezi Mungu: Tokomeeni humo, wala msinisemeze.
- NA KWA NINI nisimuabudu yule aliye niumba na kwake mtarejeshwa?
- Kesha usiku kucha, ila kidogo tu!
- Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
- Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote!
- Je wanangoja mpaka Mwenyezi Mungu awajie katika vivuli vya mawingu pamoja na Malaika, na hukumu
- Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari.
- (Akasema:) Nirudishieni! Akaanza kuwapapasa miguu na shingo.
- Mfano wa vile wanavyo vitoa katika uhai wao wa duniani ni kama upepo ambao ndani
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers