Surah Al Qamar aya 50 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ﴾
[ القمر: 50]
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Our command is but one, like a glance of the eye.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
Na haikuwa amri yetu tukitaka kitu ila neno moja tu, nalo ni kusema: -Kuwa-, nacho huwa, papo hapo kama kupepesa kwa jicho.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Walipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: Kuweni manyani wa kudharauliwa.
- Wewe si mwenye kuwatawalia.
- Basi wapuuze, nawe ngonja; hakika wao wanangoja.
- Je! Nyinyi mnawaingilia wanaume, na mnaikata njia? Na katika mikutano yenu mnafanya maovu? Basi haikuwa
- Na yanapo geuzwa macho yao kuelekea watu wa Motoni, watasema: Mola Mlezi wetu! Usitujaalie kuwa
- Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi
- Au wanayo ilimu ya ghaibu, nao wameandika?
- Na miadi ya haki ikakaribia. Hapo ndipo yatapo kodoka macho ya walio kufuru (na watasema:)
- Hakika wachamngu wanastahiki kufuzu,
- Kisha Siku ya Kiyama atawahizi na atasema: Wako wapi hao washirika wangu ambao kwao mkiwakutisha
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



