Surah Al Qamar aya 50 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ﴾
[ القمر: 50]
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Our command is but one, like a glance of the eye.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
Na haikuwa amri yetu tukitaka kitu ila neno moja tu, nalo ni kusema: -Kuwa-, nacho huwa, papo hapo kama kupepesa kwa jicho.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
- Na wakiambiwa: Inameni! Hawainami.
- Na miongoni mwa watu wapo wanao nunua maneno ya upuuzi, ili wawapoteze watu na njia
- Na hakika Mola wako Mlezi ndiye atakaye wakusanya. Hakika Yeye ni Mwenye hikima na Mjuzi.
- Aseme: Ewe Mola wangu Mlezi! Mbona umenifufua kipofu, nami nilikuwa nikiona?
- Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikilia ilimu hii waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na
- Na kwa yakini tumekwisha ziangamiza kaumu za kabla yenu walipo dhulumu, na waliwajia Mitume wao
- Na wanaapa kwa Mwenyezi Mungu kwamba wao ni katika nyinyi, wala wao si katika nyinyi.
- Wakasema wale wanao jivuna: Sisi tunayakataa hayo mnayo yaamini.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



