Surah Al Qamar aya 50 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ﴾
[ القمر: 50]
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
Surah Al-Qamar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Our command is but one, like a glance of the eye.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
Na haikuwa amri yetu tukitaka kitu ila neno moja tu, nalo ni kusema: -Kuwa-, nacho huwa, papo hapo kama kupepesa kwa jicho.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
- Hakika tuliidhalilisha milima pamoja naye ikisabihi jioni na asubuhi pamoja naye.
- Hapana yeyote aliomo mbinguni na ardhini ila atafika kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni
- Nyinyi mmekuwa bora ya umma walio tolewa watu, kwa kuwa mnaamrisha mema na mnakataza maovu,
- Kwa hakika hayo ni ukelele mmoja tu,
- Na Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Hakika nyinyi mmezidhulumu nafsi zenu kwa
- Na usiku msujudie Yeye, na umtakase usiku, wakati mrefu.
- Na yakakusanywa yaliomo vifuani?
- Watakuambia mabedui walio baki nyuma: Yametushughulisha mali yetu na ahali zetu, basi tuombee msamaha. Wanasema
- Au wanadhani kwamba hatusikii siri zao na minong'ono yao? Wapi! Na wajumbe wetu wapo karibu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Qamar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Qamar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Qamar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



