Surah Shuara aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ أَوَلَوْ جِئْتُكَ بِشَيْءٍ مُّبِينٍ﴾
[ الشعراء: 30]
Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Moses] said, "Even if I brought you proof manifest?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?
Musa akasema kwa upole kwa kutumai asaa akaamini: Utanitia gerezani hata nikikuletea ushahidi mkubwa wa ukweli wa haya niyasemayo?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Hakika mimi nachelea wasinikanushe.
- Akasema: Tupeni! Basi walipo tupa waliyazuga macho ya watu na wakawatia khofu, na wakaleta uchawi
- Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu?
- Na haikuwa jawabu ya kaumu yake isipo kuwa kuambizana: Wafukuzeni katika mji wenu, maana hao
- Na atamfunza kuandika na Hikima na Taurati na Injili.
- Kwa yakini katika Yusuf na nduguze ziko ishara kwa wanao uliza.
- Na iogopeni Siku ambayo mtarudishwa kwa Mwenyezi Mungu, kisha kila nafsi italipwa ilicho chuma. Nao
- Sema: Mwaonaje ikikufikieni hiyo adhabu yake usiku au mchana, sehemu gani ya adhabu wanaihimiza wakosefu?
- Na ingeli wadhuru nini wao lau wangeli muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na
- Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers