Surah Shuara aya 76 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَنتُمْ وَآبَاؤُكُمُ الْأَقْدَمُونَ﴾
[ الشعراء: 76]
Nyinyi na baba zenu wa zamani?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
You and your ancient forefathers?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Nyinyi na baba zenu wa zamani?
Nyinyi na baba zenu wa zamani - ati haya yanastahiki kuabudiwa au la? Lau mngeli zingatia mngeli jua kuwa hakika nyinyi mko katika upotovu ulio wazi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika Sisi tumeufanya huo kuwa ni mateso kwa walio dhulumu.
- Mpaka watapo funguliwa Juju na Maajuju wakawa wanateremka kutoka kila mlima;
- Na mkumbuke mja wetu Ayubu alipo mwita Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika Shet'ani amenifikishia
- Na katika Ishara zake ni usiku na mchana, na jua na mwezi. Basi msilisujudie jua
- Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu
- Wala sitaabudu mnacho abudu.
- Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
- Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande.
- Sema: Asaa ni karibu kukufikieni sehemu ya yale mnayo yahimiza.
- Wala usiufanye mkono wako kama ulio fungwa shingoni mwako, wala usiukunjue wote kabisa, utabaki ukilaumiwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers