Surah Yusuf aya 77 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yusuf aya 77 in arabic text(Joseph).
  
   
ayat 77 from Surah Yusuf

﴿۞ قَالُوا إِن يَسْرِقْ فَقَدْ سَرَقَ أَخٌ لَّهُ مِن قَبْلُ ۚ فَأَسَرَّهَا يُوسُفُ فِي نَفْسِهِ وَلَمْ يُبْدِهَا لَهُمْ ۚ قَالَ أَنتُمْ شَرٌّ مَّكَانًا ۖ وَاللَّهُ أَعْلَمُ بِمَا تَصِفُونَ
[ يوسف: 77]

Wakasema: Ikiwa huyu ameiba, basi nduguye vile vile aliiba zamani. Lakini Yusuf aliyaweka siri moyoni mwake wala hakuwaonyesha. Akawaambia: Nyinyi mko katika hali mbaya zaidi, na Mwenyezi Mungu anajua zaidi hayo mnayo singizia.

Surah Yusuf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They said, "If he steals - a brother of his has stolen before." But Joseph kept it within himself and did not reveal it to them. He said, "You are worse in position, and Allah is most knowing of what you describe."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wakasema: Ikiwa huyu ameiba, basi nduguye vile vile aliiba zamani. Lakini Yusuf aliyaweka siri moyoni mwake wala hakuwaonyesha. Akawaambia: Nyinyi mko katika hali mbaya zaidi, na Mwenyezi Mungu anajua zaidi hayo mnayo singizia.


Kule kugunduliwa kikopo katika mzigo wa ndugu yake kwa ghafla kuliwashangaza nduguze na kukawababaisha. Kwa hivyo wakataka kujivua kuwa wao wote hawana makosa ila huyo na Yusuf, na kusema kuwa tabia ya wizi wameirithi kwa mama yao. Wakasema: Si ajabu kuwa huyo kaiba, kwani nduguye khalisa aliwahi kwiba vile vile! Na Yusuf akatambua kijembe chao wanacho mpigia, na yakamuudhi hayo. Lakini aliyaficha, na akawawekea jawabu moyoni mwake lau kuwa amesema wazi jawabu yenyewe inge kuwa hivi: Nyinyi mko katika hali ovu zaidi, na nyinyi ni duni zaidi. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua vyema, na kutambua ukweli wa maneno yenu ya kumsingizia nduguye fedheha ya wizi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 77 from Yusuf


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
    Surah Yusuf Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Yusuf Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Yusuf Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Yusuf Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Yusuf Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Yusuf Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Yusuf Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Yusuf Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Yusuf Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Yusuf Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Yusuf Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Yusuf Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Yusuf Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Yusuf Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Yusuf Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers