Surah Muminun aya 106 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا رَبَّنَا غَلَبَتْ عَلَيْنَا شِقْوَتُنَا وَكُنَّا قَوْمًا ضَالِّينَ﴾
[ المؤمنون: 106]
Mola wetu Mlezi! Tulizidiwa na uovu wetu na tukawa watu tulio potea.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They will say, "Our Lord, our wretchedness overcame us, and we were a people astray.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mola wetu Mlezi! Tulizidiwa na uovu wetu na tukawa watu tulio potea.
Watasema nao wanakiri makosa yao : Ewe Mola wetu Mlezi! Maasi yetu yalikuwa mengi, ndio yakatupatia mashaka, na tukawa wenye kupotea tukaiacha njia ya sawa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- (Ataambiwa) ingieni kwa salama. Hiyo ndiyo siku ya daima dawamu.
- Ili msidhulumu katika mizani.
- Na mshike Sala, na mcheni Yeye, na kwake Yeye ndiko mtako kusanywa.
- Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake.
- Basi wote hao ndio wanao kimbilia katika mambo ya kheri, na ndio watakao tangulia kuyafikia.
- Kisha mtupeni Motoni!
- Humo hawataonja mauti ila mauti yale ya kwanza, na (Mwenyezi Mungu) atawalinda na adhabu ya
- Vijana hao walipo kimbilia kwenye pango walisema: Mola wetu Mlezi! Tupe rehema itokayo kwako, na
- Kisha ni juu yetu kuubainisha.
- Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers