Surah Yunus aya 63 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِينَ آمَنُوا وَكَانُوا يَتَّقُونَ﴾
[ يونس: 63]
Hao ni ambao wameamini na wakawa wanamcha Mungu.
Surah Yunus in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Those who believed and were fearing Allah
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hao ni ambao wameamini na wakawa wanamcha Mungu.
Na hao ndio walio yasadiki yote yaliyo toka kwa Mwenyezi Mungu, na wakaifuata Haki, na wakayaepuka maasi, na wakamkhofu Mwenyezi Mungu katika kila walitendalo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mtaje Musa katika Kitabu. Hakika yeye alikuwa ni mwenye kuchaguliwa, na alikuwa Mtume, Nabii.
- Wala hao mnao waomba badala yake Yeye hawana uweza wa kumwombea mtu, isipo kuwa anaye
- Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda?
- Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.
- Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
- Sema: Nendeni katika ardhi, na tazameni ulikuwaje mwisho wa wakosefu.
- Basi ukiwakuta vitani wakimbize walio nyuma yao ili wapate kukumbuka.
- Usisimame kwenye msikiti huo kabisa. Msikiti ulio jengwa juu ya msingi wa uchamngu tangu siku
- Yanachukiza vikubwa mno kwa Mwenyezi Mungu kuwa mnasema msiyo yatenda.
- Mwenyezi Mungu ameifanya Al Kaaba, hii Nyumba Tukufu, ni simamio la watu, na kadhaalika Miezi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers