Surah Bayyinah aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Bayyinah aya 8 in arabic text(The Clear Evidence).
  
   

﴿جَزَاؤُهُمْ عِندَ رَبِّهِمْ جَنَّاتُ عَدْنٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا أَبَدًا ۖ رَّضِيَ اللَّهُ عَنْهُمْ وَرَضُوا عَنْهُ ۚ ذَٰلِكَ لِمَنْ خَشِيَ رَبَّهُ
[ البينة: 8]

Malipo yao kwa Mola wao Mlezi ni Bustani za daima, zipitazo mito kati yake. Wakae humo milele. Mwenyezi Mungu yu radhi nao, na wao waradhi naye. Hayo ni kwa anaye mwogopa Mola wake Mlezi.

Surah Al-Bayyinah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Their reward with Allah will be gardens of perpetual residence beneath which rivers flow, wherein they will abide forever, Allah being pleased with them and they with Him. That is for whoever has feared his Lord.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Malipo yao kwa Mola wao Mlezi ni Bustani za daima, zipitazo mito kati yake. Wakae humo milele. Mwenyezi Mungu yu radhi nao, na wao waradhi naye. Hayo ni kwa anaye mwogopa Mola wake Mlezi.


Malipo yao Akhera kwa Imani na vitendo vyema walivyo vitanguliza, ni Mabustani ya kudumu yenye kupitiwa na mito kati yake, watakaa humo milele. Mwenyezi Mungu amepokea amali zao, na wao watamshukuru kwa hisani yake aliyo wafanyia. Hiyo ndiyo jaza ya mwenye kuiogopa adhabu ya Mola wake Mlezi, akaamini na akatenda mema.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Bayyinah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wale walio jitahidi kuzipinga Ishara zetu wakaona watashinda, hao watapata adhabu mbaya yenye uchungu.
  2. Aliye kujaalieni kupata moto kutokana na mti wa kijani nanyi mkawa kwa huo mnawasha.
  3. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika
  4. Waulize Wana wa Israili: Tumewapa ishara ngapi zilizo wazi? Na anaye zibadili neema za Mwenyezi
  5. Basi Taluti alipo ondoka na majeshi alisema: Mwenyezi Mungu atakujaribuni kwa mto. Atakaye kunywa humo
  6. Mkidhihirisha wema au mkiuficha, au mkiyasamehe maovu, hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira na
  7. Si kwa matamanio yenu, wala matamanio ya Watu wa Kitabu! Anaye fanya ubaya atalipwa kwalo,
  8. Na lau kuwa Watu wa Kitabu wangeli amini na wakachamngu hapana shaka tungeli wafutia makosa
  9. Wala hatakuamrisheni kuwafanya Malaika na Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa
  10. Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Bayyinah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Bayyinah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Bayyinah Complete with high quality
Surah Bayyinah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Bayyinah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Bayyinah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Bayyinah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Bayyinah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Bayyinah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Bayyinah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Bayyinah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Bayyinah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Bayyinah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Bayyinah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Bayyinah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Bayyinah Al Hosary
Al Hosary
Surah Bayyinah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Bayyinah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, September 13, 2026

Please remember us in your sincere prayers