Surah Shuara aya 80 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِذَا مَرِضْتُ فَهُوَ يَشْفِينِ﴾
[ الشعراء: 80]
Na ninapo ugua ni Yeye ndiye anaye niponesha.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when I am ill, it is He who cures me
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ninapo ugua ni Yeye ndiye anaye niponesha.
Na yakinishukia maradhi ni Yeye ndiye anaye niponesha, kwa kunisahilishia sababu za kupona na kuniwezesha kuzipata.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii.
- Miongoni mwa Mayahudi wamo ambao hubadilisha maneno kuyatoa mahala pake, na husema: Tumesikia na tumeasi,
- Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
- Basi, ole wao wanao sali,
- Wa kuombwa kweli ni Yeye tu. Na hao wanao waomba badala yake hawawajibu chochote; bali
- MWENYEZI MUNGU hapendi uovu uenezwe kwa maneno ila kwa mwenye kudhulumiwa. Na Mwenyezi Mungu ndiye
- Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.
- Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao
- Hapana shaka yoyote mtapata misukosuko katika mali zenu na nafsi zenu, na bila ya shaka
- Wakasema wale wanao jivuna: Sisi tunayakataa hayo mnayo yaamini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



