Surah Araf aya 96 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Araf aya 96 in arabic text(The Heights).
  
   

﴿وَلَوْ أَنَّ أَهْلَ الْقُرَىٰ آمَنُوا وَاتَّقَوْا لَفَتَحْنَا عَلَيْهِم بَرَكَاتٍ مِّنَ السَّمَاءِ وَالْأَرْضِ وَلَٰكِن كَذَّبُوا فَأَخَذْنَاهُم بِمَا كَانُوا يَكْسِبُونَ﴾
[ الأعراف: 96]

Na lau kuwa watu wa miji wangeli amini na wakamchamngu, kwa yakini tungeli wafungulia baraka kutoka mbinguni na katika ardhi. Lakini walikanusha basi tukawapatiliza kwa sababu ya yale waliyo kuwa wakiyachuma.

Surah Al-Araf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And if only the people of the cities had believed and feared Allah, We would have opened upon them blessings from the heaven and the earth; but they denied [the messengers], so We seized them for what they were earning."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na lau kuwa watu wa miji wangeli amini na wakamchamngu, kwa yakini tungeli wafungulia baraka kutoka mbinguni na katika ardhi. Lakini walikanusha basi tukawapatiliza kwa sababu ya yale waliyo kuwa wakiyachuma.


Na lau kuwa watu wa hiyo miji wangeliamini walio kuja nayo Mitume, na wakatenda walio wausia, na wakajitenga na aliyo yaharimisha Mwenyezi Mungu, tungeli wapa baraka nyingi zitokazo mbinguni na kwenye ardhi, kama mvua, na mimea, na matunda, na wanyama, na riziki, na amani na kusalimika na misiba. Lakini wao wakapinga na wakawakadhibisha Mitume. Basi tukawapatiliza kwa adhabu nao wamelala, kwa sababu ya ukafiri na maasi waliyo yazua. Basi huko kushikwa waliko shikwa kwa adhabu ni matokeo ya lazima kuwa kwa ajili ya maovu waliyo yachuma, na yawe kuwa ni somo kwa walio kama wao ikiwa wanayatia akilini!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 96 from Araf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wakasema: Ewe mchawi! Tuombee kwa Mola wako Mlezi kwa ile ahadi aliyo kuahidi; hakika
  2. Wakasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hatuna ujuzi isipokuwa kwa uliyo tufunza Wewe. Hakika Wewe ndiye Mjuzi
  3. Na walio amini na wakatenda mema wataingizwa katika Mabustani yapitayo mito kati yake, wadumu humo
  4. Akasema: Je! Mmejua mliyo mfanyia Yusuf na nduguye mlipo kuwa wajinga?
  5. Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao.
  6. Wale wanao fadhilisha maisha ya dunia kuliko Akhera, na wanawazuilia watu wasifuate Njia ya Mwenyezi
  7. Yeye ndiye anaye kuonyesheni Ishara zake, na anakuteremshieni kutoka mbinguni riziki. Na hapana anaye kumbuka
  8. Yawe haya ni kifumbua macho na ukumbusho kwa kila mja mwenye kuelekea.
  9. Na Mwenyezi Mungu hakuwa wa kuwaadhibu nawe umo pamoja nao, wala Mwenyezi Mungu si wa
  10. Isipo kuwa yule aliye niumba, kwani Yeye ataniongoa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Surah Araf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Araf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Araf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Araf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Araf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Araf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Araf Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Araf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Araf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Araf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Araf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Araf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Araf Al Hosary
Al Hosary
Surah Araf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Araf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 19, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب