Surah zariyat aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالذَّارِيَاتِ ذَرْوًا﴾
[ الذاريات: 1]
Naapa kwa pepo zinazo tawanya,
Surah Adh-Dhariyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
By those [winds] scattering [dust] dispersing
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Naapa kwa pepo zinazo tawanya!
Ninaapa kwa pepo zinazo timua mawingu, zikayasukuma kwa nguvu, huku zikibeba mizigo mizito ya maji, zikawa zinakwenda kwa wepesi kwa amri ya Mwenyezi Mungu, zikawa zinagawanya riziki kwa ampendaye Mwenyezi Mungu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika mali yenu na watoto wenu ni jaribio. Na kwa Mwenyezi Mungu upo ujira mkubwa.
- Isipo kuwa mwanamke mkongwe katika wale walio bakia nyuma.
- Na kila nafsi italipwa kwa yale iliyo yafanya, na Yeye anayajua sana wanayo yatenda.
- Na wale walio kufuru na wakakanusha Ishara zetu, hao ndio watu wa Motoni.
- Humo watapata wakitakacho, na kwetu yako ya ziada.
- Basi tukambashiria mwana aliye mpole.
- Kisha tukawafuatilizia walio fuatia?
- Basi wape muhula makafiri - wape muhula pole pole.
- Na tukawaambia baada yake Wana wa Israili: Kaeni katika nchi. Itapo kuja ahadi ya Akhera
- Kisha tukawaangamiza wale wengine.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



