Surah Assaaffat aya 148 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَآمَنُوا فَمَتَّعْنَاهُمْ إِلَىٰ حِينٍ﴾
[ الصافات: 148]
Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they believed, so We gave them enjoyment [of life] for a time.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.
Wakauwitikia wito wake, nasi tukawakunjulia neema zetu kwa muda maalumu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Zinamwangallia Mola wao Mlezi.
- Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Basi jua ya kwamba hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, na omba maghufira kwa dhambi zako
- Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.
- Zilizo inuliwa, zilizo takaswa.
- Watu ambao biashara wala kuuza hakuwashughulishi na kumdhukuru Mwenyezi Mungu, na kushika Sala, na kutoa
- Ewe Nabii! Waambie wake zako: Ikiwa mnataka maisha ya dunia na pambo lake, basi njooni,
- Na Yeye ndiye aliye kuhuisheni kisha akakufisheni, na kisha atakufufueni. Hakika mwanaadamu hana fadhila.
- Basi akawatokea watu wake kutoka mihirabuni. Akawaashiria: Msabihini Mwenyezi Mungu asubuhi na jioni.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



