Surah Qaf aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالنَّخْلَ بَاسِقَاتٍ لَّهَا طَلْعٌ نَّضِيدٌ﴾
[ ق: 10]
Na mitende mirefu yenye makole yaliyo zaa kwa wingi,
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And lofty palm trees having fruit arranged in layers -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mitende mirefu yenye makole yaliyo zaa kwa wingi,
Na mitende mirefu mirefu, yenye makole ya tende yaliyo pandana kwa wingi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha akaigeukia kuipiga kwa mkono wa kulia.
- Na Mwenyezi Mungu akikugusisha madhara, basi hapana wa kukuondolea ila Yeye. Na akikutakia kheri, basi
- Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
- Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
- Hao ndio watu wa Peponi, watadumu humo, kuwa ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
- Na tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
- Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
- AMETUKUKA ambaye mkononi mwake umo Ufalme wote; na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila
- Na Nabii wao akawaambia: Mwenyezi Mungu amekuteulieni Taluti (Sauli) kuwa ni mfalme. Wakasema: vipi atakuwa
- Akakukuta mhitaji akakutosheleza?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers