Surah Munafiqun aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Munafiqun aya 10 in arabic text(The Hypocrites).
  
   

﴿وَأَنفِقُوا مِن مَّا رَزَقْنَاكُم مِّن قَبْلِ أَن يَأْتِيَ أَحَدَكُمُ الْمَوْتُ فَيَقُولَ رَبِّ لَوْلَا أَخَّرْتَنِي إِلَىٰ أَجَلٍ قَرِيبٍ فَأَصَّدَّقَ وَأَكُن مِّنَ الصَّالِحِينَ﴾
[ المنافقون: 10]

Na toeni katika tulicho kupeni kabla hayajamfikia mmoja wenu mauti, tena hapo akasema: Mola wangu Mlezi! Huniakhirishi muda kidogo nipate kutoa sadaka, na niwe katika watu wema?

Surah Al-Munafiqun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And spend [in the way of Allah] from what We have provided you before death approaches one of you and he says, "My Lord, if only You would delay me for a brief term so I would give charity and be among the righteous."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na toeni katika tulicho kupeni kabla hayajamfikia mmoja wenu mauti, tena hapo akasema: Mola wangu Mlezi! Huniakhirishi muda kidogo nipate kutoa sadaka, na niwe katika watu wema?


Enyi Waumini! Toeni katika mali tuliyo kuruzukuni upesi upesi kabla mmoja wenu hayajamfikia mauti akasema kwa majuto: Ewe Mola wangu Mlezi! Hebu hunipi muhula kidogo, nikapata kutoa sadaka, na nikawa miongoni wa watu wema watendao vitendo vyema?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 10 from Munafiqun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na ukubwa ni wake Yeye tu, mbinguni na katika ardhi, naye ni Mwenye nguvu, Mwenye
  2. Kwa hakika wale walio kufuru watanadiwa: Bila ya shaka kukuchukieni Mwenyezi Mungu ni kukubwa kuliko
  3. Wakasema watukufu wa wale walio kufuru katika kaumu yake: Sisi tunakuona umo katika upumbavu, na
  4. Na muombe maghfira Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu.
  5. Hiyo ni amri ya Mwenyezi Mungu amekuteremshieni. Na anaye mcha Mwenyezi Mungu atamfutia maovu yake,
  6. Wala hawatakuwa na waombezi miongoni mwa walio kuwa wakiwashirikisha na Mungu; na wao wenyewe watawakataa
  7. Ndani yake zimo chemchem mbili zinazo pita.
  8. Hayo ni apate kujua ya kwamba mimi sikumfanyia khiyana nyuma yake; na ya kwamba Mwenyezi
  9. Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
  10. Anaye samehe dhambi na anaye pokea toba, Mkali wa kuadhibu, Mwenye ukarimu, hakuna mungu ila

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Munafiqun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Munafiqun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Munafiqun Complete with high quality
Surah Munafiqun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Munafiqun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Munafiqun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Munafiqun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Munafiqun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Munafiqun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Munafiqun Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Munafiqun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Munafiqun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Munafiqun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Munafiqun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Munafiqun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Munafiqun Al Hosary
Al Hosary
Surah Munafiqun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Munafiqun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, August 10, 2025

Please remember us in your sincere prayers