Surah Nuh aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ إِنِّي أَعْلَنتُ لَهُمْ وَأَسْرَرْتُ لَهُمْ إِسْرَارًا﴾
[ نوح: 9]
Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
Surah Nuh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then I announced to them and [also] confided to them secretly
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
kisha nikaudhihirisha wito kwa namna moja, na nikawaita kisirisiri kwa namna nyengine, ili nijaribu kila njia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia
- Wanakuhimiza waletewe adhabu kwa haraka, na hali Jahannamu kwa hakika imewazunguka makafiri!
- Firauni akasema: Na nani huyo Mola Mlezi wa walimwengu wote?
- Wala hukuwa kando ya mlima tulipo nadi. Lakini ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi
- Kisha tukaotesha humo nafaka,
- Siabudu mnacho kiabudu;
- Juu ya Njia Iliyo Nyooka.
- Akasema (Iblisi): Naapa kwa utukufu wako, bila ya shaka nitawapoteza wote,
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Na mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume. Mkigeuka, basi hakika juu ya Mtume wetu ni
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



