Surah Najm aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَفَتُمَارُونَهُ عَلَىٰ مَا يَرَىٰ﴾
[ النجم: 12]
Je! Mnabishana naye kwa aliyo yaona?
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So will you dispute with him over what he saw?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je! Mnabishana naye kwa aliyo yaona?
Hivyo nyinyi mnamkadhibisha Mtume wa Mwenyezi Mungu na mnabishana naye kwa aliyo yaona kwa macho yake?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tumeteremsha kutoka mbinguni maji yaliyo barikiwa, na kwa hayo tukaotesha mabustani na nafaka za
- Alipo simama mwovu wao mkubwa,
- Na katika wanyama amekujaalieni wenye kubeba mizigo na kutoa matandiko. Kuleni katika alivyo kuruzukuni Mwenyezi
- Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,
- Kifuate cha kufuatia.
- Na pale Mola wako Mlezi alipo waleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwao kizazi chao, na
- Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
- Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
- Bali hii ni Qur'ani tukufu
- Sema: Angalieni yaliomo mbinguni na kwenye ardhi! Na Ishara zote na maonyo hayawafai kitu watu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



