Surah zariyat aya 11 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِينَ هُمْ فِي غَمْرَةٍ سَاهُونَ﴾
[ الذاريات: 11]
Ambao wameghafilika katika ujinga.
Surah Adh-Dhariyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who are within a flood [of confusion] and heedless.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambao wameghafilika katika ujinga.
Ambao kwamba wamezamishwa katika ujinga, wameghafilika na dalili za yakini.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia
- Na mtaje Musa katika Kitabu. Hakika yeye alikuwa ni mwenye kuchaguliwa, na alikuwa Mtume, Nabii.
- Amemfundisha aliye mwingi wa nguvu,
- Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
- Na siku watakapo kusanywa maadui wa Mwenyezi Mungu kwenye Moto, nao wakikgawanywa kwa makundi.
- Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
- Na wale walio wafanya walinzi wengine badala yake Yeye, Mwenyezi Mungu ni Mwangalizi juu yao.
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
- Waseme: Mola wetu Mlezi! Aliye tusabibisha haya mzidishie adhabu mara mbili Motoni.
- Basi nakuonyeni na Moto unao waka!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers