Surah Muminun aya 95 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّا عَلَىٰ أَن نُّرِيَكَ مَا نَعِدُهُمْ لَقَادِرُونَ﴾
[ المؤمنون: 95]
Na hakika Sisi ni waweza wa kukuonyeshsa tuliyo waahidi.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, We are able to show you what We have promised them.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika Sisi ni waweza wa kukuonyeshsa tuliyo waahidi.
Na Sisi tunaweza kwa utimilivu kukuonyesha adhabu tulio waahidi ikiwateremkia. Basi wewe tuwa ujue kuwa tutashinda.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tungeli waongoa Njia iliyo nyooka.
- Na Thamud na kaumu Lut'i na watu wa Machakani. Hayo ndiyo makundi.
- Na wale walio tamani kuwa pahala pake jana, wakawa wanasema: Kumbe Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki
- Basi akaitupa fimbo yake, na mara ikawa nyoka dhaahiri.
- Kuhimidiwa ni kwa Mwenyezi Mungu, ambaye amemteremshia mja wake Kitabu, wala hakukifanya kina upogo.
- Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?
- Na Musa alisema: Enyi watu wangu! Ikiwa nyinyi mmemuamini Mwenyezi Mungu, basi mtegemeeni Yeye, ikiwa
- Bali tuliwastarehesha hawa na baba zao mpaka ikawafikia Haki na Mtume aliye bainisha.
- Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
- Akasema: Nitampataje mwana hali mwanaadamu yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



