Surah Shuara aya 115 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنْ أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ﴾
[ الشعراء: 115]
Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
I am only a clear warner."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.
Mimi si chochote ila ni Mtume niliye toka kwa Mwenyezi Mungu kuwaonya walio wajibikiwa kwa onyo lilio wazi, kwa ushahidi wa kutenganisha baina ya kweli na uwongo, bila ya farka yoyote baina ya mtukufu na mnyonge. Basi vipi itanifalia mimi kuwafukuza Waumini kwa sababu ya ufakiri wao?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
- Akasema: Afriti, katika majini: Mimi nitakuletea kabla hujainuka pahala pako hapo. Na mimi kwa hakika
- Wanakuapieni ili muwe radhi nao. Basi hata mkiwa radhi nao nyiye, Mwenyezi Mungu hawi radhi
- Wanasema: Basi marejeo hayo ni yenye khasara!
- Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari.
- Na hakika Nuhu alitwita, na Sisi ni bora wa waitikiaji.
- Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
- Na mazulia yaliyo tandikwa.
- Na wale ambao Ishara za Mola wao Mlezi wanaziamini,
- Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers