Surah Shuara aya 114 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا أَنَا بِطَارِدِ الْمُؤْمِنِينَ﴾
[ الشعراء: 114]
Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And I am not one to drive away the believers.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.
Wala mimi siye wa kuwafukuza watu wanao uamini wito wangu vyovyote itavyo kuwa hali yao ya ufakiri au utajiri, kwa sababu ati ya kukubalieni nyinyi kwa mtakalo ili ndio mpate kuniamini.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanakuuliza watoe nini? Sema: Kheri mnayo itoa ni kwa ajili ya wazazi na jamaa na
- Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.
- Wala msimguse kwa uwovu, isije ikakushikeni adhabu ya Siku Kubwa.
- Na ardhi njema, yenye udongo wa rutba, hutoa mimea yenye kukua vizuri yenye uhai, kwa
- Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
- Na matunda wanayo yapenda,
- Sawa sawa kwao, ukiwatakia maghfira au hukuwatakia maghfira, Mwenyezi Mungu hatawaghufiria. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi
- Anaye kufuru basi ukafiri wake utakuwa juu yake mwenyewe, na anaye tenda mema, basi wanazitengezea
- Basi msimpigie Mwenyezi Mungu mifano. Hakika Mwenyezi Mungu anajua, na nyinyi hamjui.
- Na tunge utuma upepo na wakauona umekuwa rangi ya manjano, juu ya hayo wange endelea
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers