Surah Al-Haqqah aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿خُذُوهُ فَغُلُّوهُ﴾
[ الحاقة: 30]
(Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Allah will say], "Seize him and shackle him.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
(Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!
Wataambiwa walinzi wa Jahannamu: Mshikeni, na mfungeni mikono yake kwenye shingo yake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Na sasa kwa yakini tumewafikishia Neno ili wapate kukumbuka.
- Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.
- Na hakika Mola wako Mlezi bila ya shaka ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
- Je! Hawaoni ya kwamba tunayapeleka maji kwenye ardhi kavu, kisha kwayo tunaitoa mimea wanayo kula
- Na kwa nini mlipo yasikia msiseme: Haitufalii kuzungumza haya. Subhanak Umetakasika! Huu ni uzushi mkubwa!
- Na ili walio pewa ilimu wajue kuwa hayo ni Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi
- Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
- Hakika Wewe unatuona.
- Haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu huuongoa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



