Surah Sajdah aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sajdah aya 12 in arabic text(The Prostration).
  
   

﴿وَلَوْ تَرَىٰ إِذِ الْمُجْرِمُونَ نَاكِسُو رُءُوسِهِمْ عِندَ رَبِّهِمْ رَبَّنَا أَبْصَرْنَا وَسَمِعْنَا فَارْجِعْنَا نَعْمَلْ صَالِحًا إِنَّا مُوقِنُونَ﴾
[ السجدة: 12]

Na ungeli waona wakosefu wanvyo inamisha vichwa vyao mbele ya Mola wao Mlezi, (wakisema): Mola wetu Mlezi! Tumesha ona, na tumesha sikia. Turejeshe tukatende mema, kwani hakika sisi tumekwisha kuwa na yakini sasa.

Surah As-Sajdah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


If you could but see when the criminals are hanging their heads before their Lord, [saying], "Our Lord, we have seen and heard, so return us [to the world]; we will work righteousness. Indeed, we are [now] certain."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na ungeli waona wakosefu wanvyo inamisha vichwa vyao mbele ya Mola wao Mlezi, (wakisema): Mola wetu Mlezi! Tumesha ona, na tumesha sikia. Turejeshe tukatende mema, kwani hakika sisi tumekwisha kuwa na yakini sasa.


Lau kuwa umejaaliwa kuwaona wakosefu kwenye msimamo wa hisabu ungeli ona ajabu. Pale wale wakosefu wenye kujivuna watavyo inamisha vichwa vyao kwa hizaya inayo tokana na Mola wao Mlezi, nao watasema kwa unyonge: Ewe Mola wetu Mlezi! Tumekwisha yaona tuliyo kuwa na upofu nayo, na tumekwisha yasikia tuliyo kuwa na uziwi nayo, basi turejeshe duniani tupate tenda mema ambayo tuliyo kuwa hatuyatendi. Hakika sasa hivi sisi tumeyakinika na walio kuja nayo Mitume wako.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 12 from Sajdah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akasema: Mola wangu Mlezi! Niwekee alama. Akasema: Alama yako ni kuwa hutasema na watu kwa
  2. Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
  3. Sema: Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Wala wao
  4. Na tukampa ahali zake na wengine kama wao pamoja nao, kuwa ni rehema itokayo kwetu,
  5. Kwani hawawaoni ndege walioko juu yao namna wanavyo zikunjua mbawa zao, na kuzikunja? Hawawashikilii ila
  6. (Mwenyezi Mungu) ambaye amekufanyieni hii ardhi kuwa kama tandiko, na mbingu kama paa, na akateremsha
  7. Na Nabii wao akawaambia: Mwenyezi Mungu amekuteulieni Taluti (Sauli) kuwa ni mfalme. Wakasema: vipi atakuwa
  8. Na hakika tulimtuma Musa pamoja na Ishara zetu na uthibitisho ulio wazi
  9. Na tumeacha katika mji huo Ishara ilio wazi kwa watu wanao tumia akili zao.
  10. Ndio kama hivi tumekutuma kwa umma ambao wamekwsiha pita kabla yao umati nyengine, ili uwasomee

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sajdah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sajdah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sajdah Complete with high quality
Surah Sajdah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sajdah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sajdah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sajdah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sajdah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sajdah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sajdah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Sajdah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sajdah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sajdah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sajdah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sajdah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sajdah Al Hosary
Al Hosary
Surah Sajdah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sajdah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, August 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers