Surah Sajdah aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sajdah aya 13 in arabic text(The Prostration).
  
   

﴿وَلَوْ شِئْنَا لَآتَيْنَا كُلَّ نَفْسٍ هُدَاهَا وَلَٰكِنْ حَقَّ الْقَوْلُ مِنِّي لَأَمْلَأَنَّ جَهَنَّمَ مِنَ الْجِنَّةِ وَالنَّاسِ أَجْمَعِينَ﴾
[ السجدة: 13]

Na lau tungeli taka tunge mpa kila mtu uwongofu wake. Lakini imekwisha kuwa kauli iliyo toka kwangu: Kwa yakini nitaijaza Jahannamu kwa wote hawa, majini na watu.

Surah As-Sajdah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And if We had willed, We could have given every soul its guidance, but the word from Me will come into effect [that] "I will surely fill Hell with jinn and people all together.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na lau tungeli taka tunge mpa kila mtu uwongofu wake. Lakini imekwisha kuwa kauli iliyo toka kwangu : Kwa yakini nitaijaza Jahannamu kwa wote hawa, majini na watu.


Na lau kuwa tunataka tungeli mpa kila mtu uwongofu wake, lakini kauli yangu ilikwisha tangulia, nayo ni: Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa wote hawa majini na watu. Kwa kuwa tulijua kuwa wengi wao watakhiari upotovu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 13 from Sajdah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hao ndio walio kufuru na wakakuzuieni msiingie Msikiti Mtakatifu, na wakawazuilia dhabihu kufika mahala pao.
  2. Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
  3. Sema: Mwaonaje ikikufikieni hiyo adhabu yake usiku au mchana, sehemu gani ya adhabu wanaihimiza wakosefu?
  4. Na wanayaabudu badala ya Mwenyezi Mungu yasiyo wafaa wala yasiyo wadhuru. Na kafiri daima ni
  5. Haya ni kwa ajili awakate sehemu katika walio kufuru, au awahizi wapate kurejea nyuma nao
  6. Na sema: Mola wangu Mlezi! Niteremshe mteremsho wenye baraka, na Wewe ni Mbora wa wateremshaji.
  7. Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
  8. Na ikasemwa: Ewe ardhi! Meza maji yako. Na Ewe mbingu! Jizuie. Basi maji yakadidimia chini,
  9. Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu.
  10. Hiyo ndiyo Siku ya haki. Basi anaye taka na ashike njia arejee kwa Mola wake

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sajdah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sajdah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sajdah Complete with high quality
Surah Sajdah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sajdah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sajdah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sajdah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sajdah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sajdah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sajdah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Sajdah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sajdah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sajdah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sajdah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sajdah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sajdah Al Hosary
Al Hosary
Surah Sajdah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sajdah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, July 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers