Surah Muhammad aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَهَلْ عَسَيْتُمْ إِن تَوَلَّيْتُمْ أَن تُفْسِدُوا فِي الْأَرْضِ وَتُقَطِّعُوا أَرْحَامَكُمْ﴾
[ محمد: 22]
Basi yanayo tarajiwa kwenu mkitawala ndio mfisidi katika nchi na mwatupe jamaa zenu?
Surah Muhammad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So would you perhaps, if you turned away, cause corruption on earth and sever your [ties of] relationship?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi yanayo tarajiwa kwenu mkitawala ndio mfisidi katika nchi na mwatupe jamaa zenu?
Basi ndio mnavyo tarajiwa, enyi wanaafiki, kuwa mkipata madaraka ndio mfisidi katika nchi na mkate makhusiano yenu na jamaa zenu?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na umtegemee Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
- Na tukawaokoa wao na watu wao kutokana na dhiki kubwa.
- Hakukuwa ila ukelele mmoja tu; na mara walizimwa!
- Enyi mlio amini! Msiingie nyumba zisio nyumba zenu mpaka mwombe ruhusa, na mwatolee salamu wenyewe.
- Na yote tunayo kusimulia katika khabari za Mitume ni ya kukupa nguvu moyo wako. Na
- Na unapo waona wanao ziingilia Aya zetu, basi jitenge nao mpaka waingilie mazungumzo mengine. Na
- Haiwi kauli ya Waumini wanapo itwa kwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake ili ahukumu baina
- Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.
- Atasema Mwenyezi Mungu: Tokomeeni humo, wala msinisemeze.
- Na wakati tulipo waleta kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qur'ani. Basi walipo ihudhuria walisema:
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muhammad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muhammad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muhammad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers