Surah Muhammad aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Muhammad aya 13 in arabic text(Muhammad).
  
   

﴿وَكَأَيِّن مِّن قَرْيَةٍ هِيَ أَشَدُّ قُوَّةً مِّن قَرْيَتِكَ الَّتِي أَخْرَجَتْكَ أَهْلَكْنَاهُمْ فَلَا نَاصِرَ لَهُمْ﴾
[ محمد: 13]

Na miji mingapi iliyo kuwa na nguvu zaidi kuliko mji wako huu ulio kutoa; nao tuliwateketeza na wala hawakuwa wa kuwanusuru.

Surah Muhammad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And how many a city was stronger than your city [Makkah] which drove you out? We destroyed them; and there was no helper for them.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na miji mingapi iliyo kuwa na nguvu zaidi kuliko mji wako huu ulio kutoa; nao tuliwateketeza na wala hawakuwa wa kuwanusuru.


Na wengi katika watu wa miji walio tangulia walio kuwa na nguvu zaidi kushinda watu wa mji wako wa Makka ambao watu wake wamekufukuza, ewe Muhammad, tuliwaangamiza kwa namna mbali mbali za adhabu. Na hakutokea yeyote wa kuwanusuru nasi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 13 from Muhammad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika
  2. Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
  3. Je! Hawavioni vitu alivyo viumba Mwenyezi Mungu - vivuli vyao vinaelekea kushotoni na kuliani, kumsujudia
  4. Na wale wanao wasingizia wake zao na hawana mashahidi ila nafsi zao, basi ushahidi wa
  5. Na hakika tulimtuma Nuhu kwa watu wake, akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi
  6. Sema: Je! Mnawaabudu, badala ya Mwenyezi Mungu, wale ambao hawawezi kukudhuruni wala kukufaeni? Na Mwenyezi
  7. Na ama yule anaye ogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake
  8. Basi labda utaacha baadhi ya yale yaliyo funuliwa kwako, na kifua kitaona dhiki kwa hayo,
  9. Hiyo ni amri ya Mwenyezi Mungu amekuteremshieni. Na anaye mcha Mwenyezi Mungu atamfutia maovu yake,
  10. Na ili walio pewa ilimu wajue kuwa hayo ni Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Muhammad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Muhammad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muhammad Complete with high quality
Surah Muhammad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Muhammad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Muhammad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Muhammad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Muhammad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Muhammad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Muhammad Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Muhammad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Muhammad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Muhammad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Muhammad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Muhammad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Muhammad Al Hosary
Al Hosary
Surah Muhammad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Muhammad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, August 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers