Surah Shuara aya 211 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا يَنبَغِي لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ﴾
[ الشعراء: 211]
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
It is not allowable for them, nor would they be able.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
Wala haiwafalii wao kuiteremsha, na hawawezi kufanya hivyo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa hakika wapumbavu miongoni mwetu walikuwa wakisema uwongo ulio pindukia mipaka juu ya Mwenyezi
- Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
- Yule bibi aksema: Huyu basi ndiye huyo mliye nilaumia! Na kweli mimi nilimtaka naye akakataa.
- Mkiyaepuka makubwa mnayo katazwa, tutakufutieni makosa yenu madogo, na tutakuingizeni mahali patukufu.
- Na wakasema walio kufuru: Tutapo kuwa mchanga, sisi na baba zetu, hivyo kweli tutakuja tolewa?
- Je, huwaoni wale walio ambiwa: Izuieni mikono yenu, na mshike Sala na mtoe Zaka. Na
- Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
- Wala hamtaweza kufanya uadilifu baina ya wake, hata mkikakamia. Kwa hivyo msimili moja kwa moja
- Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo tupa!
- Nao wako mbioni, vichwa juu, na macho hayapepesi, na nyoyo zao tupu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



