Surah Sad aya 76 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sad aya 76 in arabic text(Sad).
  
   
ayat 76 from Surah Saad

﴿قَالَ أَنَا خَيْرٌ مِّنْهُ ۖ خَلَقْتَنِي مِن نَّارٍ وَخَلَقْتَهُ مِن طِينٍ
[ ص: 76]

Akasema: Mimi ni bora kuliko yeye. Umeniumba kwa moto, na yeye umemuumba kwa udongo.

Surah Saad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He said, "I am better than him. You created me from fire and created him from clay."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Akasema: Mimi ni bora kuliko yeye. Umeniumba kwa moto, na yeye umemuumba kwa udongo.


Iblisi akasema: Mimi ni bora kuliko Adam; kwani Wewe umeniumba kwa moto, na yeye umemuumba kwa udongo. Basi vipi mimi nimsujudie yeye?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 76 from Sad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi Firauni akataka kuwafukuza katika nchi. Kwa hivyo tukamzamisha yeye na walio kuwa pamoja naye
  2. Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
  3. Kisha akakaribia na akateremka.
  4. Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
  5. Hao ndio tunao wapokelea bora ya vitendo vyao walivyo vitenda, na tunayasamehe makosa yao. Watakuwa
  6. Je! Hawatubu kwa Mwenyezi Mungu na wakamwomba msamaha? Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira na
  7. Na mkizihisabu neema za Mwenyezi Mungu, hamwezi kuzidhibiti. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira, Mwenye
  8. Wala wasikuhuzunishe wale wanao kimbilia ukafirini. Hakika hao hawamdhuru kitu Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu anataka
  9. Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni, kisha akakuruzukuni, kisha anakufisheni, na kisha anakufufueni. Je! Yupo yeyote
  10. Nasi twazigeuza nyoyo zao na macho yao. Kama walivyo kuwa hawakuamini mara ya kwanza, tunawaacha

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Surah Sad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sad Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Sad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sad Al Hosary
Al Hosary
Surah Sad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, August 21, 2025

Please remember us in your sincere prayers