Surah Muzammil aya 13 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَطَعَامًا ذَا غُصَّةٍ وَعَذَابًا أَلِيمًا﴾
[ المزمل: 13]
Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.
Surah Al-Muzzammil in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And food that chokes and a painful punishment -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.
Na chakula kinacho sakama kooni, hakimezeki, na adhabu yenye uchungu mkali usio stahamilika.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na milima ikaondolewa,
- Siku atapo wafufua Mwenyezi Mungu, na awaambie yale waliyo yatenda. Mwenyezi Mungu ameyadhibiti, na wao
- Tena wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwashirikisha
- HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.
- Hapana shaka tutakujaribuni kwa chembe ya khofu, na njaa, na upungufu wa mali na watu
- Je! Mnayaona maji mnayo yanywa?
- Kipo kikundi katika Watu wa Kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao
- Ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi; na Mwenyezi Mungu ni shaahidi wa kila kitu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muzammil with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muzammil mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muzammil Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers