Surah Al Isra aya 95 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Isra aya 95 in arabic text(The Night Journey).
  
   

﴿قُل لَّوْ كَانَ فِي الْأَرْضِ مَلَائِكَةٌ يَمْشُونَ مُطْمَئِنِّينَ لَنَزَّلْنَا عَلَيْهِم مِّنَ السَّمَاءِ مَلَكًا رَّسُولًا﴾
[ الإسراء: 95]

Sema: Ingeli kuwa duniani wapo Malaika wanatembea kwa utulivu wao, basi bila ya shaka tungeli wateremshia Malaika kuwa ni Mtume wao.

Surah Al-Isra in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "If there were upon the earth angels walking securely, We would have sent down to them from the heaven an angel [as a] messenger."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Ingeli kuwa duniani wapo Malaika wanatembea kwa utulivu wao, basi bila ya shaka tungeli wateremshia Malaika kuwa ni Mtume wao.


Sema kwa kuwarudi: Lau kuwa duniani badala ya wanaadamu wapo Malaika wanatembea kama wanaadamu na wamekaa humo, basi tungeli wateremshia kutoka mbinguni Malaika kuwa ni Mitume wao katika jinsi yao. Lakini Malaika si kama binaadamu; na wangeli kuja basi wange kuja kwa sura za watu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 95 from Al Isra


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa yakini sisi tutawateremshia watu wa mji huu adhabu kutoka mbinguni kwa sababu ya uchafu
  2. Na alipo kuja Isa na dalili zilizo wazi, alisema: Nimekujieni na hikima, na ili nikuelezeni
  3. Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi
  4. Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
  5. Hayo ni hivyo kwa sababu mlikuwa akiombwa Mwenyezi Mungu peke yake mnakataa. Na akishirikishwa mnaamini.
  6. Ambao wanazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu, na wanaitakia ipotoke, na wanaikataa Akhera.
  7. Nawe hukuudhika nasi ila kwa kuwa tumeziamini Ishara za Mola Mlezi wetu zilipo tujia. Ewe
  8. Na watasema: Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tuliwat'ii bwana zetu na wakubwa wetu; nao ndio
  9. (Firauni) akawaambia waheshimiwa walio mzunguka: Hakika huyu ni mchawi mtaalamu.
  10. Walipo tupa, Musa alisema: Mliyo leta ni uchawi. Hakika Mwenyezi Mungu haitengenezi kazi ya waharibifu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Surah Al Isra Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Isra Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Isra Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Isra Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Isra Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Isra Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Isra Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Isra Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Isra Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Isra Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Isra Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Isra Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Isra Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Isra Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Isra Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, September 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers